• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, July 17, 2012

    CHECK HAPA NAMNA CHEGE ALIVYOPATA AJALI USIKU WA JANA!



     

      



      

    Chege amepata ajali maeneo ya Temeke Jana 16 July mida ya saa nne usiku. Ajali imesababishwa na mwendesha pikipiki ambaye alikuwa amelewa sana na ameiba pikipiki alio kuwa anaendesha.Mwenye pikipiki alifika hospitalini na kusema alikuwa akijitayarisha kuwasha pikipiki yake huku akiva koti kwa ajili ya kujizuia na baridi ndipo alipo sukumwa pembeni na mlevi huyo na kuibiwa pikipiki yake . Kwa mwendo wa kasi sana pikipiki hio iliingia barabarani bila kujali magari wala usalama. 


    Chege amepata maumivu makali kwenye mkono wake wa kushoto na ameshapata matibabu hospitali ya Kinondoni mida ya saa sita usiku.
      
    Kabla ya ajali chege alikuwa studio akitayarisha CD Ya show atakayo kwenda kufanya Kigoma pamoja na kigoma  All star tarehe 17 July 2012. Baada ya kutayarisha hio CD Alikuwa aje kinondoni kujitayarisha na safari yake ya Kigoma mapema asubuhi.

    No comments:

    3500K