• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Thursday, June 28, 2012

    WASIFU 360: R. KELLY NA WIMBO WA SIGN OF A VICTORY


    Robert Sylvester Kelly (amezaliwa tar. 8 Januari, 1967) ni mwimbaji wa muziki wa R&B na soul-mtunzi wa nyimbo, rapa, na mtayarishaji wa rekodi kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama R. Kelly

    Alianza kuingia katika kazi ya muziki kwa mara kwanza kunako mwaka wa 1992 akiwa na kundi la Public Announcement, halafu baadaye Kelly akaenda kuwa kama msanii wa kujitegemea mnamo 1993 na kuweza kupata mafanikio makubwa kabisa kwa kazi za kujitegemea baada ya kutoa albamu yake ya 12 Play.
    Kelly alifahamika sana kwa mkusanyiko wa vibao vyake vikali kama vile "Bump n' Grind", "I Believe I Can Fly", "Gotham City", "Ignition", "If I Could Turn Back the Hands of Time", "The World's Greatest", na hip-hopera ya "Trapped in the Closet".
    Kelly pia ametayarisha na kuimba katika nyimbo nyingine kibao za wasanii wengine wa R&B na hip-hop. Mnamo mwaka wa 1994, Kelly ametayarisha na kutunga albamu ya kwanza ya mwimbaji wa R&B Aaliyah na mwaka wa 1995, Kelly ameshiriki-kutayarisha na kutunga wimbo wa "You Are Not Alone" kwa ajili ya Michael Jackson, ambao uliingizwa kwenye albamu ya Jackson, HIStory.
    Kelly ameimba viitikio vya nyimbo kibao maarufu za hip-hop. Nyimbo ni pamoja na "Fuckin' You Tonight" ya The Notorious B.I.G., "We Thuggin'" ya Fat Joe, "Gigolo" ya Nick Cannon, na "Go Getta" ya Young Jeezy, na ameshirikiana na Jay-Z katika albamu mbili za pamoja.
    Katika maisha yake binafsi, Kelly amekuwa na kashfa kadhaa za ngono. Taarifa zilielezwa kwamba amemwoa kabinti kadogo Aaliyah, ambaye yeye ndiye alikuwa mtunzi wake wa nyimbo. Kelly na Aaliyah wakasitisha ndoa yao. Baada ya kutolewa video ya mtu moja aliyedaiwa kuwa yeye kufanya mapenzi na msichana mdogo, Kelly akashtakiwa katika kesi kadhaa za ngono za watoto mnamo 2002. Baada ya makawio kadhaa, kesi yake ikapelekwa kizimbani mnamo 2008, na baraza la wazee wa mahakama likamwona Kelly hana kosa katika mshtaka yote 14.
    "Sign Of A Victory"
    I can see the colors of the rainbow
    And I can feel the sun on my face
    I see the light at the end of the tunnel
    And I can feel heaven in it's place

    And that's the sign of a victory [x2]

    I can feel the spirit of the nations
    And I can feel my wings ridin' the winds, yeah
    I see the finish line just up ahead now
    And I can feel it risin' deep within

    And that's the sign of a victory [x2]

    Now I can see the distance of the journey
    High and front with all your might
    You open your eyes to global warming
    Been through it all, you sacrificed your life

    And that's the sign of a victory [x2]

    If we believe, we can achieve anything
    Including the impossible, this I know
    So let's lift up our heads, yeah
    And raise the flag, yeah yeah
    And scream like you want to win
    Now let the games begin!

    That's the sign of a victory [x4]

    When you keep on fightin'
    After you lost your strength
    That's the sign of a victory

    When darkness is all around you
    You still find your way
    That's the sign of a victory

    Come on and sing
    Lift up your voice and sing
    Stand up, oh yeah, stand up
    The sign of a victory
    Ooooohh ohh ohhhh
    That's the sign of a victory 
     
      filexmmari1994.blogspot.com

    No comments:

    3500K