• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Friday, June 8, 2012

    USIKU WA SUGU NDANI YA DAR LIVE,JANA JUMAPILI:

    Sugu akiwarusha mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live usiku wa kuamkia leo.
     Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari nae akitoa 'verse' kuupamba usiku wa Sugu ndani ya Dar Live.
     Sugu na Mkoloni wakizidi kuwadatisha mashabiki.
     Profesa Jay akiwapa burudani mashabiki wa Dar Live.
     ...Akiwasabahi mashabiki wake.
     Mapacha kutoka kundi la Vinega wakiiteka steji ya Dar Live.
     Suma G nae alikuwepo kuupamba usiku huo.
      Juma Nature na kundi lake la Wanaume Halisi likifanya makamuzi stejini.
     ....Wanaume kazini.
    Danny Msimamo akiwarusha wapenzi wa burudani.
     Kundi la Naukala Ndima likifanya vitu vyake stejini.
     Bendi ya Chuchu Sound nayo ilifanya makamuzi katika tamasha hilo la Usiku wa Sugu.
     Mbunge wa Kinondoni (CCM), Idd Azzan akiwasalimia mashabiki wa Dar Live.
     Nyomi iliyohudhuria Usiku wa Sugu.
     Baadhi ya mashabiki wakiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Sugu.

    No comments:

    3500K