• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Friday, June 8, 2012

    SIMBA YAKAMILISHA USAJILI WA SALUM KINJE WA AFC LEOPARDS

    Salum Kinje
    Taarifa rasmi za uhakika kutoka ndani ya uongozi na kamati ya ufundi ya klabu ya Simba ni kwamba timu hiyo imefanikiwa kukamilisha usajili wa mchezaji bora wa nafasi ya kiungo kwenye ligi kuu ya soka nchini Kenya, Salum Kinje ambaye anaichezea AFC Leopards.
    Nikiwa na Salum Kinje nilipotembelea Kenya mwezi uliopita.
    Kinje ambaye ni mtanzania amesajiliwa na Simba kwa kiasi cha fedha ambacho hakijawekwa wazi na pande zote mbili, lakini amesaini mkataba wa kuitumikia Simba kwa miaka 2 na siku chache zijazo ataanza mazoezi na timu yake mpya inayojiandaa kushiriki michuano ya Kagame Cup inayotarajiwa kuanza hivi karibuni.

    No comments:

    3500K