Jana ilikuwa ni siku ya furaha kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ ambapo alisherekea siku yake ya kuzaliwa katika kiwanja chake cha Nyumbani Loudge, hafla iliyohudhuriwa na watu kibao wakiwemo wasanii wa filamu na muziki.
Saturday, June 16, 2012
Home
Unlabelled
Picha Za Birthday ya Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ Jana
Picha Za Birthday ya Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ Jana
Jana ilikuwa ni siku ya furaha kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ ambapo alisherekea siku yake ya kuzaliwa katika kiwanja chake cha Nyumbani Loudge, hafla iliyohudhuriwa na watu kibao wakiwemo wasanii wa filamu na muziki.
No comments:
Post a Comment