• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Friday, June 8, 2012

    Mtitu Afichua Siri ya Mbwa wa Irene Uwoya

    MWIGIZAJI wa ‘long time’ Bongo, William Mtitu ameweka bayana kuwa hakupenda aina ya mbwa aliokuwa akiwamiliki ndiyo maana aliamua kumuuzia Irene Uwoya. Akichezesha taya na Ijumaa kwenye ofisi zake zilizopo Magomeni jijini Dar, Mtitu alisema alifikia uamuzi wa kuwauza mbwa hao baada ya kubaini hawawezi kazi ya ulinzi. “Mi’ nilishawishiwa na rafiki yangu kuwanunua nikidhani ni mbwa wa ulinzi nyumbani kumbe ni mbwa koko. “Sasa Mbwa gani kila unapotaka kwenda na yeye anakufuata, siyo mkali wala nini ndiyo akatokea Uwoya nikamuuzia, nasikia na yeye kamuuza mmoja kwa Ray,” alisema Mtitu.

    No comments:

    3500K