• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, June 19, 2012

    Mr Blue APATA MTOTO WA KIUME.


    Muda huu nimepata simu kutoka kwa Mr. Blue na kuniambia kuwa yule mpenzi wake ambaye alikuwa na mimba anakwenda kwa jina la Wahida majira ya jana usiku kuamkia leo alijifungua mtoto wa kiume. Blue amesema mtoto huyo ameamua kumpatia jina la SAMEER.

    No comments:

    3500K