• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, June 26, 2012

    Mavazi na Bongo Flava-Kwani ni Lazima kutepesha Suruali ?



    Msanii Akiwa anaimba huku Suruali ikiwa chini ya Makalio
     
                                                  Diamond ni mfano wa Msanii Anae vaa vizuri
     
    Ommy Dimpoz mfano wa Msanii anae vaa Vizuri
    Siku za karibuni tumeona mabadiliko mazuri katika uvaaji kwa wasanii wa bongo flava hapa TZ lakini kuna kuna baadhi bado wanaendelea kututia kichefuchefu kwa kuvaa suruali nusu ikiwa chini ya matako..Mfano mzuri kwa wasanii wanao vaa vizuri na wenye mafanikio ni kama Diamond , Ommy Dimpoz and Izzo Bussiness , wasaniii tuige mfano kwa hawa wachache si lazima kutepesha suruali ndio uonekane msanii mzuri .

    No comments:

    3500K