• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, June 12, 2012

    FAHAMU KILICHOWAKIMBIZA AY NA MWANA FA KUTOKA B_HITS!


    Wakali wawili ambao walikuwa napoteza sana kwa ngoma zao kutoka studio za B Hits chini ya Hermy B ambao kwa kipindi cha takribani miezi sita hivi hawako tena kwenye lebo hiyo wameweza kuweka wazi mapema wiki hii kwanini hawafanyi tena kazi na studio hizo. Wakiongea na Amplifaya wakali hao walithibitisha kutokufanya kazi tena na studio hizo huku wakiweka wazi kuwa kupanda kwa gharama za kurekodi ndani ya studio hizo ndio kikubwa kilichowafanya wakimbie ndani ya
    studio hizo  na wala hawana tofauti na mmiliki wa studio hiyo

    No comments:

    3500K