• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Saturday, June 30, 2012

    Dogo Janja "Siko Tayari Kurudi Tip Top"



    Si unafahamu kwamba Dogo Janja alirudi kwao Arusha baada ya kujiondoa TIP TOP lakini akarudishwa Dar na kundi la WATANASHATI ambalo ndio yuko nalo sasa hivi?

    Sasa stori ni kwamba Baada ya meneja wake wa sasa wa WATANASHATI kusema kwamba yuko tayari kumuachia Dogo Janja kuchukuliwa na mtu yeyote ambae ataweza kumuendeleza vizuri kisanii na kimasomo hata TIP TOP wenyewe kama wakijirekebisha, Janja ameamua kutoa maneno matano kuhusu kurudi Tip Top kama wakijitokeza kwa hiyo ofa.

    Amesema “Mimi kama mimi siko tayari”

    Meneja Ostaz Juma alitangaza hiyo ofa juzi exclusive kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM na kusema yeyote atakae taka kumchukua Janja mikononi mwake itabidi amlipe gharama alizotumia, kauli ambayo iliwashtua wengi japo mpaka sasa Janja yuko mikononi mwa WATANASHATI.

    No comments:

    3500K