Mkali
wa ryhmes kutoka Mji kasoro bahari amefunguka na kutoa neno juu ya
ngoma ya msanii Ney wa Mitego kutoka Manzese huku akitoa maneno ya
kashfa kwa msanii huyo. Akiongea na mtandao wa teentz mkali huyo alisema
kuwa hamjui Ney kama ni msanii wa muziki bali analisikia jina hilo kama
ni kati ya wasanii wa kike wa maigizo wa hapa Bongo huku akiendelea
kudai kuwa hatambui kama kuna ngoma mpya ya HipHop ambayo imetoka hivi
karibuni hapa Bongo na hajawahi kusikia ngoma yeyote inayomzungumzia
Hivyo anashangaa kuona mtoto wa kike
kumdisi yeye mtu wa hiphop ambaye hana mawasiliano na watu kama hao.
Sunday, June 17, 2012
Home
Unlabelled
AFANDE SELE: MI NAJUA NEY WA MITEGO NI JINA LA MUIGIZAJI WA KIKE!
No comments:
Post a Comment