Sources zinasema kwamba baadaya muda mfupi wa kuchora tatoo huko New Zealand, Rihanna hakuipenda tena ile tatoo. Mwimbaji huyo alimsafirisha mchora tatoo kutoka New York hadi Jamhuri ya Dominica ambapo Rihanna yupo kwenye tour. Kikubwa alichokifanya mchoraji huyo ni kuchora tatoo mpya juu ya tatoo ya zamani kama inavyoonekana hapo chini.
Sources zinasema kwamba baadaya muda mfupi wa kuchora tatoo huko New Zealand, Rihanna hakuipenda tena ile tatoo. Mwimbaji huyo alimsafirisha mchora tatoo kutoka New York hadi Jamhuri ya Dominica ambapo Rihanna yupo kwenye tour. Kikubwa alichokifanya mchoraji huyo ni kuchora tatoo mpya juu ya tatoo ya zamani kama inavyoonekana hapo chini.
No comments:
Post a Comment