Msanii Linex ambaye anatamba na ngoma ya 'Aifola' amesema yuko mbioni 
kuachia ngoma yake mpya ya mwaka 2013 ambayo humo ndani ameimba kwa 
lugha 4 tofauti tofauti.Linex alisema kuwa ngoma hiyo mpya ameimba kwa 
lugha ya Kiswahili,Kiha,Kiganda na Kiingereza.Linex alisema kuwa ngoma 
hiyo imefanywa na Fundi Samwel ambaye kapiga mixing huko Sweden na vocal
 amefanya na Tudd Thomas.Linex alisema kuwa pamoja na kwamba Produza 
Fundi Samwel hayuko nchini lakini aliingia mkataba nae wakufanya nae 
kazi na alisaini kabla produza huyo hajaondoka kurudi kwao Sweden.
Tuesday, January 22, 2013
Home
         Unlabelled
      
LINEX KUTOA NGOMA AMBAYO AMEIMBA KWA LUGHA TOFAUTI TOFAUTI 4 


 
 
 
 

 
No comments:
Post a Comment