Pages - Menu

Wednesday, December 5, 2012

MWIGIZAJI MKONGWE NA MAARUFU NCHINI NIGERIA AFARIKI DUNIA



Mwigizaji maarufu nchini Nigeria Pichani anayejulikana kwa jina la Enebeli Elebuwa amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo huko India ambako alikuwa akipatiwa matibabu. Marehemu enzi za uhai wake. *Mungu ailaze Roho ya Marehemu mahali pema peponi *

No comments:

Post a Comment