Kundi la Mabaga fresh kutoka hapa nyumbani ambao wana ngoma kali kama 'Tunataabika' 'Mtulize' Ni kati ya watu wenye ulemavu ambao tunajivunia kwasababu wameweza kuthibitisha katika jamii yetu kuwa Ulemavu si kushindwa 'Disability is not Inability'.Pamoja na hali waliyonayo lakini wana miaka kama 10 kwenye gemu na je unajua kuwa hawa ndo walimpeleka Juma Nature Bongo Records kwa Majani?.Tukiwa leo tunaadhimisha siku hii tutambue mchango wa Mabaga Fresh katika muziki wa bongofleva
Tuadhimishe Siku ya Walemavu kwa kutambua umuhimu wa walemavu katika familia na jamii zetu, tuwaheshimu,tuwapende kama watu wengine.
No comments:
Post a Comment