Msanii Kala Pina pichani amefunguka kuhusu Bou Nako kumdis kwenye ngoma
mpya ambayo Bou Nako ameiachia hivi karibuni nakusema kuwa anashangaa
kusikia hivyo kwani ni muda mrefu ulipita tangu bifu kati yake na msanii
huyo itokee..*MSIKILIZE *hapo chini....
Bu Nako naye alizungumzia sababu za kumdiss Kala Pina kwenye hiyo ngoma.*.MSIKILIZE....
*
No comments:
Post a Comment