.
Leo ametoa statement ya kuomba msamaha na kusema ameamua hatokata rufaa, na asamehewe kwa kutoa hayo maneno ya kibaguzi ambayo yamempa adhabu ya kukosa mechi nne ikiwemo ya jumamosi na Tottenham pamoja na ya october 28 na Man U, pia anatakiwa kulipa faini ya pound laki mbili na elfu 20.
No comments:
Post a Comment