![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEioFIvrHdWtafN8f7kpqdbQ4LI1DrnAY66563i596qzPDAg0hH5GSCnl-H8vdcc1Q5_sgst-v-Xx7sipCExGlWihRuCp-eEn8fmjY-LgYtBneo1xubi_xD3ooaMt1kINcv1sK0IYN5T9yxn/s400/IMG_2114.jpg)
Wasamaria
wema wakazi wa Manispaa ya Iringa wakimsaidia mmoja kati ya vijana
waendesha piki piki (Boda boda) ambaye jina halikuweza kupatikana
mara moja baada ya kijana huyo kugongwa na lori eneo la Ipogopo
katika Barabara kuu ya Iringa -Mbeya
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-Ln3pyV6hDz7lWpdtza0q_wU5sdI0PBe8ZWDSR0ujCn_OP4TUM8iQk0yjrzu_VMPIMEL1Y7Vvuqi-PpiWINjS1wMtzAjQHUN_2nuv_Adi9U5qbVzpuipLImWfJYY2cGfco0aTNYwn7Umt/s400/IMG_2111.jpg)
Kijana
huyo amepata madhara makubwa kichwani ikiwa ni pamoja na meno yake
kung'oka baada ya kugongwa na lori hilo japo sababu kubwa ya kuumia
zaidi kichwani ni kutokana na kuendesha piki piki bila kuvaa Helmenti
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjGzBtKSCXMGtyMkaHNcOfS3xWaN-iKPqI6sErw_7T9TcQCBU80ki8IRfBCuPVoVHH6C-X6VvCRsq-45E-SYCeXkNJ_vfPD1iAWGYBhhC5XLFn6dFn57ugkNP2jCYjzD2OVuMqaLsJ9F4rx/s400/IMG_2109.jpg)
Kijana
huyo akitoka chini ya uvungu wa lori baada ya kugongwa na lori
jingine na kujikuta akiingia chini ya lori jingine lilolokuwa
limeegeshwa eneo hilo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg5hI6UciDUGB7HCm879CB5R55ipiMWGTN_JdtrSC5toJMqsIowprBuL3cV3T7yrKvaS8vVgg53ReyWeQHU1I05pOHFBid7hu-Ovl2PLlfCDEQFf1PsMOh-S6cpvehnv_5zJiVLqnjV4u4l/s400/IMG_2112.jpg)
Hali ya piki piki aliyokuwa akitumia kijana huyo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWYmKULr9Q-cta2zXtvpiG26g7seYaSAXUvBwN1bG1zhafSmLpbLqcDMlpnn-Xps0VlLOdoYb8eMm4ApCTXvBaID15wdlIHNv92KH9c7l-xCluhV6o_JmQSWLRvZo6n8i8STvoqgzXQDCg/s400/IMG_2116.jpg)
Hapa akiingia katika Taxi kwa ajili ya kukimbizwa Hospitali kwa matibabu zaidi
You might also like:
No comments:
Post a Comment