• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, June 30, 2015

    Picha: Ziara ya Diamond akiwa Nigeria kwenye vituo vya radio 'Naija FM' na 'the Beat FM'


    Msanii wa *Bongo Fleva* anaye hit na ngoma yake ya *NANA, **Diamond Platnumz* yupo *Nigeria *kwenye ziara aliyo iita *#NanaMediaTour* kwa kusudio la kuzungua vyombo vya habari vya *Nigeria* kwaajili ya kutangaza ngoma yake ya *NaNa *aliyo mshirikisha *Mr Fleva* msanii wa nchini humo. Hizi ni baadhi ya picha zikimuonyesha akiwa kwenye vituo ciwili vikibwa vya radio nchini humo, Kituo cha *Naija FM* na *The Beet FM*.

    No comments:

    3500K