• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Monday, November 12, 2012

    TANZANIA YAONGOZA KWA WATU WAZIMA WANAOKOJOA KITANDANI, UINGEREZA YAUNDA CHAMA CHA VIKOJOZI.

    Unajua kuwa Tanzania inaidadi kubwa zaidi ya watu wazima wanaokojoa vitandani kuliko kenya na hata Uganda? Via saluti5-www.saluti5.com Tanzania ina watu wazima vikojozi, laki 5 ! Kenya inafuata karibu kabisa kwa kuwa wanaume na wanawake laki laki 4. Wanasayansi wanasema tatizo hilo la watu wazima kukojoa ni kubwa na linasumbua wengi lakini kwa sababu ni jambo la aibu wengi hawataki kulijadili. Kuna mameneja wabunge na hata mawaziri ambao ni vikojozi Takwimu zinasema kwamba katika kila watu wazima 100, mmoja wao ni kikojozi. hivyo nchini ikiwa na idadi ya watu milioni 50 kama Tanzania

    No comments:

    3500K