• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, November 6, 2012

    HIVI NDIVYO JINSI MADEE ALIVYOITUMIA ASIMILIA 20 YA ALICHOKIPATA MWAKA HUU TOKA JANUARI


    Msanii kutoka Tip Top aka Raisi wa Manzese Madee anayefanya poa na ngoma ya 'Historia'  hivi karibuni alikuwa Morogoro kwenye Kituo kimoja cha kulea watoto Yatima ambako anasema kuwa alienda kuwatembelea na kutoa asilimia 20 ya kile alichokipata toka Januari.
    Kituo hicho cha HOPE kiko katika kijiji cha Makuyuni...Hongera Madee kwa moyo huo Mwenyezi Mungu akuzidishie na wasanii wengine nao si viabya mkashare kidogo mnachokipata kwa watu ambao wanahitaji msaada

    No comments:

    3500K