• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Friday, November 9, 2012

    A.Y AONGELEA KUHUSU MAFANIKO YAKE MWAKANI


    Msanii wa Bong Fleva almaarufu kama A.Y baada ya kutoa ngoma yake inayofahamika kwa jina la Money Money aliyofanya na mwanadada Vanessa Mdee na kupeleka mpaka mashabiki kuendelea kumkubali katika tasnia hii ya muziki sasa
    Latest info kutoka kwa A.Y aliweza kueleza focus yake katika mwaka unaokuja alisema kwamba anachotaka kukifanya yeye ni ku focus zaidi kazi zake ziweze kufika mbali Hapa Africa hata nje ya Africa baada ya kusema hivyo alisema kwamba kuna baadhi ya ngoma zake ambazo ameziandaa kwa ajili ya mwaka unaokuja kama kuna collabo aliyofanya na P Funk,Fid Q,Chid Benz na wengineo.@info by A.Y

    No comments:

    3500K