• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Friday, October 26, 2012

    "Mimba ya Maunda Zorro ilinikera sana"Banana Zorro

    NEWZ>>>FILEX MMARI

    Maunda Zorro
    MMILIKI wa B-Band, Banana Zorro amefunguka la moyoni kuwa, mimba aliyopata dada’ke, Maunda Zorro mwaka jana ilikuwa ikimkera hivyo akamnunia.

    Akisemezana na kituo kimoja cha televisheni cha jijini Dar juzikati, Banana alisema kuwa kwa kipindi kile hakutarajia kama mdogo wake angepata ujauzito ndiyo maana baada ya kupata taarifa hiyo alikasirika.

    “Kusema ukweli hata yeye baada ya kupata ujauzito hakuweza kuniambia moja kwa moja, akamwambia mke wangu, nilikereka sana lakini nilimsamehe baada ya kupata mtoto,” alisema Banana.

    No comments:

    3500K