• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Thursday, October 11, 2012

    LINEX AKANUSHA KUMMWAGA DEM WAKE WA KIZUNGU

    Baada ya gazeti moja la udaku kumwaga wino na kudai kuwa msanii Linex amemmwaga dem wake wa kizungu na kumtambulisha mpya kwenye viwanja vya Liders siku ya fiesta, Linex amekanusha madai hayo kwa nguvu zote "mwenyewe nashanagaa kuona hii story kwenye blog na magazeti lakini sijui imetoka wapi, mimi mwenyewe nakanusha sijaachana nae, niko nae na tuko fresh, na next month kama mishe itapungua nitaenda Finland na nitarudi nae, ila sitaki kuzungumza kuwa nini kitafata kwasababu ni mapema sana, basi kama ndio hivyo tutashindwa hata kukaa na madada zetu sehem za starehe ...,hivo yani"

    No comments:

    3500K