• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Thursday, October 25, 2012

    DIDDY APATA AJALI


    NEWZ>>>FILEX MMARI

     Mitandao kadhaa ukiwemo wa TMZ imeripoti kutokea kwa ajali ya gari ikimhusisha Bad Boy Diddy maeneo ya Bevery Hills


     



     
    maaskari waliofika eneo la tukio walisema kuwa kila mmoja aliehusika katika ajali alionekana kulalamika kuumia akiwemo Diddy, dereva wake na dereva wa gari lingine, na kudai kuwa bado haijajulikana wameumia kiasi gani lakini hakuna hata mmoja aliepelekwa hospitali licha ya ambulance kufika eneo la tukio

    No comments:

    3500K