• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Wednesday, September 26, 2012

    Pah One Wakamatwa na Police kwa Kukutwa na Silaha za Moto


    Kundi La Music la Pah one kutoka Tanzania limejikuta matatani baada ya kukutwa na Silaha za mto wakati wakifanya shooting maeneo ya Sinza, polisi waliwakatama na kuwepeleka selo ..ila cha kufurahisha ni kuwa Silaha hizo baada ya kuchunguzwa zilikuwa ni za Bandia ...Kwa sasa wameachiwa huru kwa dhamana lakini bado wana kesi ya kujibu ya kufanya shooting kama hiyo bila vibali vya Polisi.

    No comments:

    3500K