• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, September 18, 2012

    DOGO JANJA APEWA JINA LA JANJARO BAADA YA KUFIKISHA MIAKA 18


    Ni moja kati ya wasanii ambao wanatokea panda za Arusha city huyu si mwingine namzungumzia Dogo janja.Msanii huyu siku ya tarehe 15 jumamosi iliyopita alipewa jina la janjaro baada ya kufikisha miaka 18 na mmiliki wake anayejulikana kwa jina la Ostar Juma na musoma.Kwa hiyo kuanzia anapenda mashabiki wake wajue kwamba yeye anaitwa Janjaro na wala si Dogo janja.Hayo ndiyo maneno ya msanii huyu baada ya kufikisha miaka kadhaa wiki iliyopita Jijini Dar es Salaam.

    No comments:

    3500K