• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Monday, August 27, 2012

    Sintah Apima Ngoma Majibu Yake Haya hapa


    Sintah A.k.a Jlo wa Tanzania Amepima ngoma na kuweka majibu yake mtandaoni kwa watu kuona ..Haya hapa chini ndio maneno aliyoyasema baada ya kuanika Majibu hayo hapo juu:

    "Sisemi nao eeh,sisemi nao wanao comment mbofu mbofu kuhusu jlo..Waganda hapa wangesema nakowaaaaa, maana mtoto wa watu sili silali sihemi
    sina la kusema zaidi, mimi huwa ninafanya vitendo tu,, Je wewe umepima? au kazi kushadadia ya watu,,, haya zueni balaa lengine hili naona mmeloana na macho yamewatoka kama fundi saa akiangalia mishale kama iko sawa. Kama nawaona mlivyokuwa na hasira n comment lolest
    Says Sintah

    No comments:

    3500K