• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Monday, August 27, 2012

    MPENZI MPYA WA MWANADADA RIHANNA HUYU HAPA.!

    Tetesi ambazo zimesambaa pande za kwa Obama ni kwamba sasa mwanadada Rihanna anatoka na mwanakaka Rob Kardashian ambaye kwa wiki mzima sasa wanaonekana wakiwa sambamba kwenye maeneo mbalimbali ya starehe zikiwemo kumbi za burudani na hotel. Jumamosi mwanadada Rihanna alionekana kwenye maeneo ya Racing huko Burbank California akiwa karibu na Rob ambaye walikuwa wakicheza wote michezo ya magari wakiwa na rafiki zao wa karibu na nyakati za usiku pia walionekana pamoja hotelini hali iliyothibitisha kuwa kwasasa wawili hawa wanatoka kimapenzi.

    No comments:

    3500K