Wasanii takribani woote wanaowakilisha mkoa wa Kigoma leo hii wameachia wimbo wa pamoja unaoitwa LEKA DUTIGITE maana yake ni acha tijidai, imetengenezwa na Tuddi Thomas na ndani yake kuna Diamind, Mwasiti, Ommy dimpoz, Linex, Baba Levo, Recho, Peter Msechu, Banana, Makomando na wengineo. sikiliza hapa chini
I'm listening to KigomAllStars - Leka Dutigite.mp3 in Hulkshare:
Friday, July 13, 2012
Home
Unlabelled
WASANII WA KIGOMA WATOKA NA NU JOINT LINAITWA LEKA DUTIGITE
No comments:
Post a Comment