• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Sunday, July 29, 2012

    POLISI YATAKA VIJANA KUACHA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA

     

    Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limetoa wito kwa wakazi wake kuachana na vitendo vya matumizi ya dawa za kulevya kwani huko ni nyuma maendeleo ya mkoa na taifa kwa ujumla.
    Taarifa ya Jeshi limesema vitendo vya matumizi ya dawa za kulevya kama bangi , na cocaine vinarudisha nyuma maendeleo.
    Hayo yanajiri wakati Vijana wawili waliofahamika kwa jina la Venance Joseph (26) na Daniel Felix ( 27) kukamatwa na gramu 30 za banghi  na hatua za kuwafikisha mahakamni zinafanyika.

    No comments:

    3500K