• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Friday, June 22, 2012

    SOGGY DOGGY, BW. MISOSI & D KNOB KUFANYA HIP HOP TOUR KANDA YA ZIWA


    Soggy Doggy
    Mambo vipi wadau?Salama?Ni hivi,mwezi ujao wote Soggy Doggy, Bwana Misosi na D.Knob tunafanya Hip-hop tour Kanda ya ziwa,Ruvuma na Arusha lengo kubwa likiwa ni kutoa burudani kwa mashabiki wetu ambao huwa wanatuona mara chache sana kwani tunabanwa na majukumu mengine,katika ziara hizi tunaambatana na madansa wetu na tumedhaminiwa na PRO-24

    Bwana Misosi

    D Knob

    No comments:

    3500K