Pages - Menu

Friday, July 10, 2015

Haya ndio maneno ya Diamond Platnumz kumuaga Rais Kikwete anaemaliza Muda wake.

Baada ya kutumikia Taifa kwa miaka 10 sasa, Rais Kikwete anatarajia kumaliza muda wake hapo mwezi wa kumi, Mastaa kadhaa wameandika katika mitandao ya kijamii kumuaga Rais Kikwete ambae pia ni mmoja wa mashabiki wa Muziki wa Bongo Fleva. Katika Mtandao wa Instagram Diamond Platnumz ameandika: "*Hakika Mh Rais @jmkikwete alitukuta kuleee...sasa anatuacha hapa palipo juu zaidi...Dah! Daima tutakukumbuka kwa mengi mema uliyotufanyia*". Hakika Mh Rais @jmkikwete alitukuta kuleee...sasa anatuacha hapa palipo juu zaidi...Dah! Daima tutakukumbuka kwa mengi mema uliyotufanyia😟 — Diamond

No comments:

Post a Comment