Sources zinasema kwamba baadaya muda mfupi wa kuchora tatoo huko New Zealand, Rihanna hakuipenda tena ile tatoo. Mwimbaji huyo alimsafirisha mchora tatoo kutoka New York hadi Jamhuri ya Dominica ambapo Rihanna yupo kwenye tour. Kikubwa alichokifanya mchoraji huyo ni kuchora tatoo mpya juu ya tatoo ya zamani kama inavyoonekana hapo chini.
It's more about music industry and social issues in and out of bongo land
Pages - Menu
▼
Thursday, October 31, 2013
Rihanna aingia tena kwenye headlines na tatoo nyingine mkononi
Sources zinasema kwamba baadaya muda mfupi wa kuchora tatoo huko New Zealand, Rihanna hakuipenda tena ile tatoo. Mwimbaji huyo alimsafirisha mchora tatoo kutoka New York hadi Jamhuri ya Dominica ambapo Rihanna yupo kwenye tour. Kikubwa alichokifanya mchoraji huyo ni kuchora tatoo mpya juu ya tatoo ya zamani kama inavyoonekana hapo chini.
No comments:
Post a Comment