It's more about music industry and social issues in and out of bongo land
Pages - Menu
▼
Thursday, October 17, 2013
Huyu ndio mmoja kati ya wasanii wanne wa nje watakaodondoka kwenye Fiesta 2013
Clouds Media leo hii wamethibitisha kuwaleta wasanii zaidi ya watatu
kutoka nje ya Tanzania (International artist), na leo hii wamethibitisha
kudondoka kwa msanii kutoka
Nigeria Davido anaefanya poa sana Africa na single kadhaa kali, ikiwemo Gobe.
No comments:
Post a Comment