Pages - Menu

Thursday, October 17, 2013

Huyu ndio mmoja kati ya wasanii wanne wa nje watakaodondoka kwenye Fiesta 2013

Clouds Media leo hii wamethibitisha kuwaleta wasanii zaidi ya watatu kutoka nje ya Tanzania (International artist), na leo hii wamethibitisha kudondoka kwa msanii kutoka
Nigeria Davido anaefanya poa sana Africa na single kadhaa kali, ikiwemo Gobe.

No comments:

Post a Comment