Pages - Menu

Monday, January 7, 2013

HEMED:VIDEO YANGU MPYA KUTOKA MWEZI HUU


Msanii wa Filamu hapa nchini maarufu kama Hemed a.k.a PHD,baada ya kufanya vizuri katika tasnia hii ya Bongo Fleva leo ameamua kuweka wazi na kutaja tarehe ya kutoka video yake mpya inakwenda kwa jina la Going Crazy.Video hiyo anatarajia kuachia siku ya tarehe 20 mwezi huu kwa hiyo kama wewe ni shabiki wa msanii huyu kaa tayari kwa ujio mpya kutoka kwa Hemed.

No comments:

Post a Comment