Pages - Menu

Wednesday, December 5, 2012

KALAPINA AFUNGUKA KUHUSU BOU NAKO KUMDISS KWENYE NGOMA YAKE MPYA, BOU NAKO NAYE AELEZA SABABU ZAMKUDIS KALA PINA KWENYE NGOMA HIYO



Msanii Kala Pina pichani amefunguka kuhusu Bou Nako kumdis kwenye ngoma mpya ambayo Bou Nako ameiachia hivi karibuni nakusema kuwa anashangaa kusikia hivyo kwani ni muda mrefu ulipita tangu bifu kati yake na msanii huyo itokee..*MSIKILIZE *hapo chini.... Bu Nako naye alizungumzia sababu za kumdiss Kala Pina kwenye hiyo ngoma.*.MSIKILIZE.... *

No comments:

Post a Comment