ALICHOKIANDIKA NONINI KUHUSU PRODUZA P FUNK MAJANI NA PICHA YA MAJANI AMBAYO NONINI AMEIWEKA KWENYE WALL YAKE
Hiyo ni picha ambayo msanii kutoka Kenya Nonini ambaye pia ni mtangazaji
alitupia kwenye Wall yake asubuhi,akaambatanisha na ujumbe huuu:
*
"Producer na mmiliki wa Bongo Records, P.Funk 'Majani',Hakuna msani wa
Bongo hajafanya kazi na P- funk pande ya hip hop….Kutoka Kina
Proffesor,FidQ,Ngwea na Jaymoe Kimya Kimya....(Huyu ni Daktari Musyoka Wao)
No comments:
Post a Comment