Namkariri mama Ray C akisema “inasikitisha sana kusikia taarifa hizo, Ray C ni mzima kabisa namshukuru Mungu anaendelea vizuri na matibabu tuko nae, anakula vizuri anapata usingizi vizuri, hizo habari zimetoka wapi? nazikanusha kabisa kwa jina la Yesu nalikataa hilo neno”
It's more about music industry and social issues in and out of bongo land
Pages - Menu
▼
Wednesday, November 28, 2012
ALICHOSEMA MAMA YAKE RAY C BAADA TAARIFA KUENEA KWAMBA MWANAE KAFARIKI.
Namkariri mama Ray C akisema “inasikitisha sana kusikia taarifa hizo, Ray C ni mzima kabisa namshukuru Mungu anaendelea vizuri na matibabu tuko nae, anakula vizuri anapata usingizi vizuri, hizo habari zimetoka wapi? nazikanusha kabisa kwa jina la Yesu nalikataa hilo neno”
No comments:
Post a Comment