It's more about music industry and social issues in and out of bongo land
Pages - Menu
▼
Monday, October 15, 2012
NEW TENA KUTOKA KWA : NAY WA MITEGO FT CHIBWAY"WAMENICHOKOZA"
Najua kuna ile time utakuwa unajiuliza daaah!!!! hivi Nay wa mitego kwanini anapenda sana kuponda wasanii wenzake katika ngoma zake.Sasa basi Nay alifunguka na kusema kwamba sio kama anaponda wasanii wenzake ila nyimbo zake zinasema ukweli na uwazi jinsi wasanii wa hapa Tzee wanavyojihusisha na vitu ambavyo sio vizuri katika jamii.Baada ya kutoa sababu hiyo msanii huyu alifunguka na kusema kwamba amefanya ngoma mpya ambayo hiyo sasa ndiyo amewaka uwazi na ukweli na jina la ngoma ni "Wamenichokoza"ebu fanya kama una click hapo chini uone jinsi alivyofanya yake dzain ametisha daaaahh!!!!! ni nomaaa.
Artist; Nay wa mitego ft chibwa
Song; wamenichokoza
Studio; shine record
Prod; mr T touchez
No comments:
Post a Comment