Pages - Menu

Wednesday, October 17, 2012

GLOBAL FOOTBALL NEWS: JAPAN YABANJULIWA 4-0 NA BRAZIL


Siku chache zilizopita tulishuhudia Japan ikimpa kichapo Ufaransa cha bao moja kwa nunge, lakini  jana jioni Brazil ilitoa kicha cha hatari kwa Japan cha mabao 4-0. Mechi hii ilichezwa katika Jiji la Wroclaw katika uga wa Miejski nchini Poland.

Mabao ya Brazil yalifungwa na Paulinho dakika ya 12 pasi safi kabisa ya Oscar, Neymar alitupia dakika 25 kwa njia ya Penati, dakika ya 48 Neymar alifumania tena nyavu pasi safi ya Oscar na dakika ya 76 Ricardo Kaka alitupia kambani bao safi ikiwa ni pasi murua ya Neymar.

Lineups











Coach: A. Zaccheroni



40'

76'
37'
12'


25' 48'
Coach: Mano Menezes

No comments:

Post a Comment