Pages - Menu

Thursday, October 25, 2012

DIDDY APATA AJALI


NEWZ>>>FILEX MMARI

 Mitandao kadhaa ukiwemo wa TMZ imeripoti kutokea kwa ajali ya gari ikimhusisha Bad Boy Diddy maeneo ya Bevery Hills


 



 
maaskari waliofika eneo la tukio walisema kuwa kila mmoja aliehusika katika ajali alionekana kulalamika kuumia akiwemo Diddy, dereva wake na dereva wa gari lingine, na kudai kuwa bado haijajulikana wameumia kiasi gani lakini hakuna hata mmoja aliepelekwa hospitali licha ya ambulance kufika eneo la tukio

No comments:

Post a Comment