• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Thursday, July 26, 2012

    Bongo Flava: Msanii Mwingine Mkongwe wa Bongo Flava Kuwania Ubunge 2015 Hivi sasa tunaona wimbi la wasanii wa musiki hasa Bongo flava kujiingiza katika Siasa ,Mfano mzuri ni Mwanamuziki Mkongwe Sugu ambaye ni mbuge wa Mbeya Mjini na wengine wengi ambao wako katika uongozi Sehemu mbali mbali, Msanii mwingine mkongwe Afande Sele nae Ametangaza nia ya kuwania Ubunge 2015 japo bado hajasema chama atakacho kuwa ila amesema ni kati ya Chadema ama Cuf .Amesema anavutiwa na wabunge Vijana kama Zitto Kabwe na Halima Mdee.

    12:46:00 PM
    Hivi sasa tunaona wimbi la wasanii wa musiki hasa Bongo flava kujiingiza katika Siasa ,Mfano mzuri ni Mwanamuziki Mkongwe Sugu ...
    3500K